Pages: [1]
  Print  
Author Topic: Wakati ya kuhi soma maluga zote !  (Read 7970 times)
0 Members and 1 Guest are viewing this topic.
LastWarrior
Freshman
*
Offline Offline

Posts: 1


« on: July 07, 2006, 11:58:52 AM »

 Hapa, ni wakati sasa ya sisi ku wahita wale wana hongea swahili kama luga za kwaho, ku jongea mingi kwa sisi kusungumuza ma habari zote za ma inchi zetu . Tena, tuta weza kuzungumuziya ma habari mbalimbali ya dunia nzima ata tena ku  shahuriya wa ndugu zetu,ku luga tukufu ya swahili!
Na wangoja ndugu zangu, kufika mengi apa kwa mazungumzo !
  Smiley
Logged
NINJA ASSASSIN
Doctor
*****
Offline Offline

Posts: 385


ONLY A NINJA CAN STOP A NINJA


« Reply #1 on: December 29, 2006, 10:32:12 AM »

Jambo  last warrior, inakaa mimi na wewe tu ndio twaongea swahli hapa, lakini labda twaweza kuwafundisha wengine angalao hata salamu za swahili kidogo.

Jambo..........hello
Jina langu ni ninja.............my name is ninja
Wewe unaitwa nani?.............what is your name?
Umetoka wapi?..................where are you from?
Mtu...............................human being/person
Rafiki...................................friend
Nchi...................................country
Baba.................................father
mama................................mother
kaka....................................brother
dada.....................................sister
mtoto....................................child/kid/toddler
mchina................................chinese
Marekani.............................america/meiguo
Kalamu...........................pen
Nisaidie.........................help
Na.............................with
Tafadhali.........................please.
Tafadhali nisaidie na kalamu.................please help me with a pen.
Gari....................................vehicle /car
Basi................................... (a bus) also means (then)
Lori..................................... tipper truck
Gari la moshi........................Train
Meli....................................ship
Ndege................................plane
Nyumba.............................house.
kukasirika................being angry Angry
Tabasamu................smile Smiley
kwaheri.....................bye
tuonane baadaye................see you later. Grin
« Last Edit: February 21, 2007, 02:28:57 PM by NINJA ASSASSIN » Logged

"MWOYOH TI KAYFARDAY "....john demethew...
Tiger
Official Partner
Senior
***
Offline Offline

Posts: 96



« Reply #2 on: December 29, 2006, 09:30:39 PM »


Baba.................................father
mama................................mother
kaka....................................brother
dada.....................................sister


Can't remember all the difficult swahili words, but I surely have learned a few - except for the word "sister", the other three - 爸爸,妈妈,哥哥 are just the same as in Chinese!  Smiley

Happy New Year, Kamally!

-Tiger
Logged
NINJA ASSASSIN
Doctor
*****
Offline Offline

Posts: 385


ONLY A NINJA CAN STOP A NINJA


« Reply #3 on: December 30, 2006, 04:11:15 PM »

kuwa na mwaka mpya wenye furaha pia...tiger !       Have a happy new year too... tiger

moja...................one/yi
mbili...................two/er
tatu...................three/san
nne.....................four/si
tano....................five/wu
sita.....................six/liu
saba...................seven/qi
nane...................eight/ba
tisa....................nine/jiu
kumi...................ten/shi

jicho/macho.............eye/eyes
skio/maskio..............ear/ears
mdomo...................mouth
mkono/mikono............hand/hands
mguu/miguu..............leg/legs
jino/meno...............tooth/teeth
damu..................blood

pombe/tembo.............beer
mvinyo......................whisky
maji..........................water
kunywa....................drink
kula..........................eat
mchele/wali......................rice
nyama...................meat
maji ya machungwa................orange juice
chungwa/machungwa...............orange/oranges
yai/mayai....................egg/eggs


simba..................lion
simba marara.........tiger
ndovu................elephant
kifaru................rhino
ngamia............camel
paka................cat
mbwa.................dog
tausi.............peacock
kuku..............chicken
jogoo............rooster
nyoka .............snake
panya..........mice/rat
farasi..............horse

askari/polisi..............police
daktari...................doctor
hoteli....................hotel
pesa.......................money
wauzaje?...................whats the price?
nani?....................who?
wapi?.......................where?
pale........................there
hapa........................here
right.....................kulia
left.......................kushoto
up...........................juu
chini........................down
upande..................sideways
wapi?..................where?
texi...................taxi
sasa.................now
kwa...................for

                 



« Last Edit: February 21, 2007, 02:24:13 PM by NINJA ASSASSIN » Logged

"MWOYOH TI KAYFARDAY "....john demethew...
sally
Doctor
*****
Offline Offline

Posts: 171


What you know is all that matters in life.


« Reply #4 on: February 20, 2007, 02:27:58 PM »

wao Cheesy this is so cool we can actually chart sawhili here?Huh?? Cool wao! i feel right at home.cheers
Logged

You cant be every thing,all you can be is yourself.
Afropinay
Doctor
*****
Offline Offline

Posts: 273


« Reply #5 on: February 20, 2007, 03:26:25 PM »

I really wish I could speak Swahili  Embarrassed

Thanks for that Ninja.. Im yet to master Mandarin.. Grin
Logged
NINJA ASSASSIN
Doctor
*****
Offline Offline

Posts: 385


ONLY A NINJA CAN STOP A NINJA


« Reply #6 on: February 21, 2007, 02:27:05 PM »

...karibu sana sally....! uko za wapi?
Logged

"MWOYOH TI KAYFARDAY "....john demethew...
sally
Doctor
*****
Offline Offline

Posts: 171


What you know is all that matters in life.


« Reply #7 on: February 21, 2007, 05:27:17 PM »

Niko poa sana thanks alot,waonekana wewe ni mtali wa Kenya kamili,wajivunia kuwa mkenya kwa kweli..... ;),wewe niwawapi lakini?? Roll Eyes
Logged

You cant be every thing,all you can be is yourself.
sally
Doctor
*****
Offline Offline

Posts: 171


What you know is all that matters in life.


« Reply #8 on: February 24, 2007, 05:36:44 PM »

Hivi punde niko Hongkong....Biashara biashara  hivi.....na mjalia mwenezi mungu kwa mamlaka yake.
Nikiwa nyumbani lakini, nili kuwa natazama Shocked kipindi ki moja...kinapo itwa... :'(Wingu la moto ::)jee ume sha kitazama Huh? Shocked.....Ni beep...beep hivi....ndivyo ni juwe....Kuwa na siku njema lakini...na shukran
Logged

You cant be every thing,all you can be is yourself.
NINJA ASSASSIN
Doctor
*****
Offline Offline

Posts: 385


ONLY A NINJA CAN STOP A NINJA


« Reply #9 on: February 25, 2007, 12:31:35 PM »

...nishawai itazama lakini kipindi tu moja hivi.. Grin
Logged

"MWOYOH TI KAYFARDAY "....john demethew...
sally
Doctor
*****
Offline Offline

Posts: 171


What you know is all that matters in life.


« Reply #10 on: February 28, 2007, 07:43:20 PM »

hivyo ni sawa basi,waonaje communcation hii,nilikuwa nina onelea yakamba ya weza kuwa vzur sana watu waka anza kitu kama chat room hivi basi watu wana weza kutukanana bila sababu....anyway...cheers,naenda kujichangamusha na nyamachoma moto iliye karangwa kiasi na viazi Grin.
Logged

You cant be every thing,all you can be is yourself.
NINJA ASSASSIN
Doctor
*****
Offline Offline

Posts: 385


ONLY A NINJA CAN STOP A NINJA


« Reply #11 on: May 06, 2007, 07:34:40 PM »

...............sema sally na mtu yeyote mwingine ambaye anaelewa... ju sisi tu ndio huongea swahili hapa waonaje tuwe tukiwasiliana na kufundisha wengine hii lugha hapa......nimehuzunika sana na hio ndege ya kq...na mungu awe na walio patwa na msiba amani ya roho wakati huu wa dhiki.....
Logged

"MWOYOH TI KAYFARDAY "....john demethew...
sally
Doctor
*****
Offline Offline

Posts: 171


What you know is all that matters in life.


« Reply #12 on: May 06, 2007, 07:42:58 PM »

Salama sana Ninja....niko nawe kwa yale ume sema....nivizuri tuki jaribu kuwafundisha lugahili la kiswahili.
Humuda ni muda wa huzuni na hatamimi nina waombea waliyo phiwa[/color]..kwenye ndege hilo la KQ.Mungu awa bariki na awa laze mahali pema.Amina.
Logged

You cant be every thing,all you can be is yourself.
Pages: [1]
  Print  
 
Jump to:  

Powered by MySQL Powered by PHP Powered by SMF 1.1.11 | SMF © 2006-2009, Simple Machines LLC Valid XHTML 1.0! Valid CSS!